Habari za uhakika zinadai kwamba kamanda Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Liberatus Barlow ameuawa kwa kupigwa risasi usiku maeneo ya Kitangiri jijini Mwanza. Chanzo:
Mwandishi Chilangazi Fredrick , Mwanza
KAMANDA WA POLISI MWANZA AUAWA
Reviewed by Unknown
on
19:51
Rating: 5
No comments: