MBAGALA KWA CHAFUKA NI KUFUATIA MAANDAMANO YA WAISLAM
Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiandamana kupinga kitendo cha kijana Emmanuel Josephat anayedaiwa kukojolea Quran.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia wakiwa na baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa katika vurugu hizo za maandamano.
Barabara ikiwa imefungwa wakati wa vurugu hizo.
(PICHA NA STEPHANO SIMON)
No comments: