MEDANI LA OPERESHENI MALIZA MATATA LILOFUNGWA JANA MONDULI, ARUSHA NA AMIRI JESHI MKUU RAIS JAKAYA KIKWETE
Badhi ya Taswira za Zoezi la Medani la Operesheni Maliza Matata ambalo limeshirikisha mamia ya wapiganaji na maofisa ambako zimetumika silaha za moto kwa njia ya ndege za kivita, vifaru, makombora na risasi kwenye Sherehe za Miaka 50 ya JWTZ kwenye eneo la Langururusu, Wilaya ya Monduli, Mkoa wa Arusha
Madhara ya shambulio hilo la mazoezi
Sehemu
ya askari wakitoka katika mapambano wakati wa ufungaji wa zoezi la
medani la maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania
(JWTZ) Monduli, Arusha,jana Septemba 5, 2014.
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia madhara ya mapigo ya
silaha mbalimbali wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la maadhimisho
ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli, Arusha,jana
Septemba 5, 2014.
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na viongozi wengine wakisimama kwa wimbo
wa Taifa wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la maadhimisho ya miaka
50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli, Arusha,jana Septemba
5, 2014.
Askari
wa kikosi cha mizinga akichukua taswira meza kuu wakati wa ufungaji wa
zoezi la medani la maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) Monduli, Arusha,jana Septemba 5, 2014.
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapongeza askari wanawake
walioshiriki katika mapambano wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la
maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli,
Arusha,jana Septemba 5, 2014.
Amiri Jeshi
Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais Wa Zanzibar
Balozi Seif Ali Iddi na viongozi wengine wakipata picha ya kumbukumbu na
sehemu ya wapiganaji wakati wa ufungaji wa zoezi la medani la
maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli,
Arusha,jana Septemba 5, 2014.Picha na IKULU
No comments: