Tazama jinsi Katiba Ilivyo kabidhiwa kwa Rais wa Tanzania Bara Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr Ali Shein
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete (kushoto) akipokea Katiba Inayopendekezwa toka kwa aliyekuwa
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta wakati wa sherehe ya
Makabidhiano ya Katiba hiyo iliyofanyika jana 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
|
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohammed
Shein (kushoto) akipokea Katiba Inayopendekezwa toka kwa aliyekuwa Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta wakati wa sherehe ya Makabidhiano
ya Katiba hiyo iliyofanyika jana 08 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
Marais wote wa Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
wakikata utepe kufungua Katiba Inayopendekezwa wakati wa sherehe ya
makabidhiano ya Katiba hiyo hapo jana 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
Marais wote wa Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar wakionyesha juu Katiba Inayopendekezwa ili wananchi waweze kuziona
wakati wa sherehe ya makabidhiano ya Katiba hiyo hapo jana 8 Oktoba, 2014
mjini Dodoma.
|
Marais wote wa Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
wakionyesha nyuso zenye furaha mara baada ya kukabdihiwa rasmi Katiba
Inayopendekezwa wakati wa sherehe ya makabidhiano ya Katiba hiyo hapo jana 8
Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
Alyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalum la
Katiba, Mhe. Andrew Chenge akitoa hotuba mbele ya Marais wa Tanzania Bara na
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wananchi waliohudhuria
wakati wa sherehe ya Makabidhiano ya Katiba Inayopendekezwa siku ya tarehe 8
Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
|
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba. Mhe. Samuel
Sitta akitoa hotuba mbele ya Marais wa Tanzania Bara na Rais wa Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wananchi waliohudhuria wakati wa sherehe ya
Makabidhiano ya Katiba Inayopendekezwa siku ya tarehe 8 Oktoba, 2014 mjini
Dodoma.
|
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohammed
Shein akiwahutubia wananchi pamoja na wageni waalikwa wakati wa sherehe ya
Makabidhiano ya Katiba Inayopendekezwa siku ya tarehe 8 Oktoba, 2014 mjini
Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete akiwahutubia wananchi pamoja na wageni waalikwa wakati wa sherehe ya
Makabidhiano ya Katiba Inayopendekezwa siku ya tarehe 8 Oktoba, 2014 mjini
Dodoma.
|
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel
Sitta akipokea Cheti cha heshima ya uongozi toka kwa Rais wa Tanzania, Mhe.
Dkt. Jakaya, wakati wa sherehe ya makabidhiano ya Katiba hiyo hapo jana 8
Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
|
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel
Sitta akionyesha juu Cheti cha heshima ya uongozi mara baada ya kukabidhiwa
toka kwa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe
ya makabidhiano ya Katiba hiyo hapo jana 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
|
Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia
Suluhu Hassan akionyesha akipokea Cheti cha heshima ya uongozi toka kwa Rais wa
Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe ya makabidhiano ya
Katiba hiyo hapo jana 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
No comments: