Rais Msataafu Mh. Benjamin Mkapa Atembelewa na Wageni Mbalimbali Nyumbani Kwake Jijini Dar es Salaam
Rais
Msataafu Mh. Benjamin Mkapa akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara
ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kulia), jana jijini Dar es Salam
walipokwenda kumtembelea.
Rais
Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara
ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kulia), jana jijini Dar es Salam
walipokwenda kumtembelea.(pichani katikati) Ni Mkuu wa chuo cha
Diplomasia nchini Balozi Mohammed Omari Maundi.
Rais
Msataafu Mh. Benjamin Mkapa (alienyanyua mkono mbele) leo nyumbani
kwake jijini Dar es Salaam akiongea na wageni wake jana nyumbani kwake
jijini Dar es Salaam walipokwenda kumtembelea. (Pichani mbele mwenye
Kaunda suti ya cream) ni Mkuu wa Chuo cha Diplomasia Balozi Mohammed
Omari Maundi.
Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa
Benjamin Mkapa (kushoto) akiongea na Mkuu wa Chuo cha Diplomasia nchini
Balozi Mohammed Omari Maundi jana jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa
(kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Diplomasia jijini Dar es Salaam
Balozi Mohammed Omari Mahundi (kulia)jana alipokwenda kumtembelea
nyumbani kwake.


wageni mbalimbali waliyombelea nyumbani kwake
jijini Dar es Salaam
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake waliomtembelea nyumbani kwake jana.
No comments: