RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA WATEMBELEA WILAYA ZA WANGING'OMBE NA MAKETE,MKOANI NJOMBE
Rais
Jakaya Kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi Chuo cha
VETA cha Wilaya ya Makete tarehe 19.10.2013 kilichojengwa katika Mji wa
Iwawa, Makao Makuu ya wilaya hiyo. KatIka hafla hiyo uongozi wa Chuo
hicho umeamua kukipa jina la Jakaya Kikwete kwa jitihada zake
alizowezesha wilaya ya Makete kuwa ya kwanza nchini kuwa na chuo cha
VETA cha wilaya. Kulia kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Elimu NA Ufundi Dr.
Shukuru Kawambwa na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Makete Ndugu Josephine
Matiro.
No comments: