Ads Top

Watu 12 wamekufa na wengine 44 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Burdan linalofanya safari zake kutoka wilayani Korogwe kwenda jijini Dar es salam kuacha njia kisha kupinduka.

Basi la Burudani baada ya ajali  jana Wilaya ya Handeni, Tanga.
 Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Korogwe wakitoa huduma kwa majeruhi.
 Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Korogwe wakitoa huduma kwa majeruhi.
 DC wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo akiwa Hospitalini hapo kutoa Huduma kwa Majeruhi.
Wananchi wa Korogwe wakiwa nje ya Hospitali hiyo ya Wilaya ya Korogwe.

 Taarifa kutoka wilayani Korogwe ambazo zilithibitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo zinasema kuwa watu 12  wamepoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Shukrani.

Basi hilo lililotokea jijini Dar es Salaam kwenda Tanga lilipata ajali eneo la Kabuku kijiji cha Taula Wilaya ya Handeni na kujeruhi watu wengine 93 kati yao watu 9 wamejeruhiwa vibaya na kukimbizwa katika Hospitali za KCMC Mjini Moshi na MOI jijini Dar esa Salaam.

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.