UNIC YAFURAHI NA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI JIJINI DAR
Bi.
Ledama ametumia siku hiyo kuwaelimisha wanafunzi kuhusiana na kazi
mbalimbali zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini yakiwemo
Malengo ya Milenia ambayo ni Kutokomeza umaskini uliokithiri na njaa,
Elimu ya Msingi kwa wote, Usawa wa kijinsia na fursa sawa kwa wanawake,
kupunguza vifo vya watoto wachanga, Upatikanaji wa huduma bora za uzazi,
kupambana na Ukimwi, Malaria na magonjwa mengine, kulinda mazingira
pamoja na kujenga mshikamano wa kimaendeleo duniani. Fun Thursday imefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za UNESCO jijini Dar leo.
No comments: